San Jose, California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la San Jose
Skyline ya Jiji la San Jose
Nchi Marekani
Jimbo California
Kitongoji Santa Clara
Idadi ya wakazi
 - Mji 939,899
Website: www.sanjoseca.gov
CAMap-doton-San Jose.png

San Jose (IPA: sænhoʊˈzeɪ) ni mji mkubwa wa jimbo la Kalifornia (Marekani) na pia mji mkubwa wa tatu jimboni. Iko kusini kabisa ya mji wa San Francisco.

Idadi ya wakazi ni 989,496 na pamoja na rundiko la mji ni watu milioni saba.

Jina la San Jose ni la Kihispania, maana yake ni "Mtakatifu Yosefu".

[hariri] Viungo vya Nje


Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu San Jose, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.