San Jose, California
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jiji la San Jose | |
| Nchi | Marekani |
|---|---|
| Jimbo | California |
| Kitongoji | Santa Clara |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 939,899 |
| Website: www.sanjoseca.gov | |
San Jose (IPA: sænhoʊˈzeɪ) ni mji mkubwa wa jimbo la Kalifornia (Marekani) na pia mji mkubwa wa tatu jimboni. Iko kusini kabisa ya mji wa San Francisco.
Idadi ya wakazi ni 989,496 na pamoja na rundiko la mji ni watu milioni saba.
Jina la San Jose ni la Kihispania, maana yake ni "Mtakatifu Yosefu".
[hariri] Viungo vya Nje
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu San Jose, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
