Salim Ahmed Salim

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Salim Ahmed Salim

Salim Ahmed Salim (amezaliwa 23 Januari 1942) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Kuanzia tarehe 24 Aprili 1984 hadi tarehe 5 Novemba 1985 alikuwa Waziri Mkuu wa tano wa Tanzania. Alifuatwa na Joseph Sinde Warioba.

Viungo vya nje [hariri]

Ofisi za Kisiasa
Alitanguliwa na
Edward Moringe Sokoine
Waziri Mkuu wa Tanzania
1984-1985
Akafuatiwa na
Joseph Sinde Warioba
Alitanguliwa na
Ali Hassan Mwinyi
Makamu wa Rais wa Tanzania
1985-1990
Akafuatiwa na
John Samuel Malecela
Nafasi za Kidiplomasia
Alitanguliwa na
Indalecio Liévano
Rais wa Bunge Kuu la Umoja wa Mataifa
1979-1980
Akafuatiwa na
Rüdiger von Wechmar


Administradors.gif Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Salim Ahmed Salim kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.