Sakitu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Majani yaliyofunikwa kwa sakitu.

Sakitu ni jina la umande ulioganda kutokana na baridi kali, na inaonekana kama tabaka jembamba la theluji linalofunika mimea, miti na vitu vyingine.

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sakitu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.