Sacho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Sacho
Nchi Kenya
Kaunti Baringo

Sacho ni mji wa magharibi mwa Kenya, katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Sacho ni kata ya kaunti ya Baringo, eneo bunge la Baringo ya Kati[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]