Sōsa, Chiba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru






Sōsa
Faili:Flag of Sosa, Chiba.png
Bendera
Sōsa is located in Japan
Sōsa
Sōsa

Mahali pa Sōsa katika Japani

Majiranukta: 35°42′00″N 140°33′00″E / 35.70000°N 140.55000°E / 35.70000; 140.55000
Nchi Japani
Mkoa Chiba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 40,212
Tovuti:  http://www.city.sosa.lg.jp/
Ukumbi wa Mjij wa Sōsa katika mkoa wa Chiba

Sōsa (匝瑳市, Sōsa-shi) ni mji wa Japani katika mkoa wa Chiba. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2010, mji una wakazi wapatao 40,000 wanaoishi katika mji huu. Eneo lake ni 101.78 km².


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sōsa, Chiba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.