Södermalm

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Götgatan, Södermalm, Stockholm.

Södermalm ni wilaya ya Stockholm, mji mkuu wa Uswidi. Inaenea katika kisiwa chake.

Mitaa na viwanja[hariri | hariri chanzo]

Götgatan na Hornsgatan mitaa mikuu ya Södermalm. Mariatorget ni uwanja mkubwa.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Södermalm kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.