São Tomé na Príncipe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

República Democrática de São Tomé e Príncipe
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Sao Tome na Principe
Flag of Sao tome na Principe Nembo ya Sao tome na Principe
Bendera Nembo
Wito la taifa: Hija hifadhiwa
Wimbo wa taifa: Independência total
(Kireno Uhuru kamili)
Lokeshen ya Sao tome na Principe
Mji mkuu São Tomé
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini São Tomé
Lugha rasmi Kireno
Serikali Jamhuri
Fradique de Menezes
Tomé Vera Cruz
Uhuru
 - Date
Kutoka Ureno
12 Julai 1975
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
964 km² (169)
0% (kisiwa)
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - ? sensa
 - Msongamano wa watu
 
169,000 (173)
haiko
171/km² ()
Fedha Dobra (STD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+0)
(UTC)
Intaneti TLD .st
Kodi ya simu +239

Jamhuri ya Kidemokrasia ya São Tomé na Príncipe ni nchi ya kisiwani ndogo katika Guba ya Guinea mbele ya mwambao wa Afrika ya Magharibi. Yenyewe ina visiwa viwili vikubwa vya São Tomé na Príncipe pamoja na visiwa vidogo-vidogo. Visiwa hivi viwili vina umbali kati yao wa kilomita 140 viko takriban kilomita 250 kutoka pwani la Gabon.

Yaliyomo

[hariri] Jiografia

Visiwa vyote vya nchi ni vilele vya milima ambayo ni sehemu ya safu za volkeno zilizokua kuanzia msingi wa bahari hadi kufikia usoni. Volkeno hizi si hai tena.

São Tomé ni kisiwa kikubwa chenye takriban asilimia 90 ya watu wote wa nchi. Kisiwa kina urefu wa rasi 48 km na upana wa 32 km. Kimo cha milima yake hufikia 2,024 m juu ya UB. Jina la Sao Tome limetolewa na Wareno waliofikia kisiwani siku ya mtakatifu Thomas katika kalenda ya kanisa katoliki.

Kisiwa cha pili Príncipe kina urefu wa 16 km na upana wa 6 km. Milima yake hufikia 927 m juu ya UB.

Rolas ni kisiwa kidogo kusini ya Sao Tome chenye wakazi 200 na mstari wa ikweta unapitia humo.

[hariri] Historia

[hariri] Siasa

[hariri] Utawala

Nchi ina mikoa miwili inayolingana na visiwa viwili na wilaya saba. Wilaya sita ziko kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome na ya saba iko Principe.

Nchi ilifuata siasa ya chama kimoja tangu uhuru hadi 1990. Katiba ya 1990 imeruhusu vyama vingi. Rais huchaguliwa na wananchi wote kwa muda wa miaka mitano.

Uchaguzi wa 26 Machi 2006 ulileta bunge kama lifuatalo:

  • MDFM/PCD (Movimento Democrático Força da Mudança / Partido da Convergência Democrática) - wabunge 23
  • MLSTP-PSD (Movimento de Libertação - Partido Social Democrata) - wabunge 20
  • ADI (Acção Democrática Independente) - wabunge 11
  • MNR (Movimento Novo Rumo) - mbunge 1


[hariri] Jiografia

Ramani ya São Tomé and Príncipe
Ramani ya São Tomé and Príncipe


[hariri] Uchumi

[hariri] Watu na ukoo

[hariri] Utamaduni

[hariri] Viungo vya Nje

[hariri] Serikali

[hariri] Habari

[hariri] Uchambuzi

[hariri] Utalii

Agensia ya Usafiri (wenyeji) Navetur-Equatour [1]

[hariri] Mazingira

[hariri] Mambo mengine

  • Article on recent politics: [2][3]


Template:CPLP

Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
Vifaa binafsi