Ruth Perry

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ruth Fahnbulleh Perry (16 Julai 1939 - 8 Januari 2017) alikuwa kiongozi wa Liberia toka 3 Septemba 1996 hadi 2 Agosti 1997. Aliongoza nchi hiyo kama mwenyekiti wa Baraza la Taifa ambalo liliongoza nchi hiyo kufuatia kuangushwa kwa Sajenti Samuel Doe na mwisho wa urais wa Amos Sawyer. Perry alikuwa mwanachama wa chama cha National Democratic Party cha Liberia.

Baada ya uchaguzi wa Urais hapo Julai 1997, Perry alimwachia madaraka Charles Taylor.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ruth Perry kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.