Ruth Blasio Msafiri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Ruth Blasio Msafiri (amezaliwa tar. 4 Oktoba 1962) ni mbunge wa jimbo la Muleba Kaskazini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri]

Marejeo[hariri]

  1. Mengi kuhusu Ruth Blasio Msafiri (13 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.