Ralph Barton Perry

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ralph Barton Perry (3 Julai, 187622 Januari, 1957) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1936, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa wasifu yake ya William James.


Quill and ink.svg Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ralph Barton Perry kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Lugha nyingine