Ralph Barton Perry
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ralph Barton Perry (3 Julai, 1876 – 22 Januari, 1957) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1936, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa wasifu yake ya William James.
| Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ralph Barton Perry kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |