Raheli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Raheli alivyochorwa na William Dyce.
Mchoro wa Tiepolo, Raheli akiwa ameficha sanamu za Labano

Raheli ni mwanamke wa Biblia anayejulikana hasa kutokana na Kitabu cha Mwanzo kama binti Labano na mke wa pili wa Yakobo Israeli, aliyemzalia watoto wawili, Yosefu na Benyamini.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Desemba[1], lakini pia tarehe 30 Septemba na 12 Mei.

Maana ya jina[hariri | hariri chanzo]

Kwa Kiebrania Rahel maana yake ni "kikondoo", hivyo “mpole”.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Raheli kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.