Puerto Vallarta, Jalisco

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu za Mji wa Puerto Vallarta, Jalisco



Puerto Vallarta
Nchi Mexiko
Jimbo Jalisco
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 177,830
Tovuti:  www.puertovallarta.gob.mx

Puerto Vallarta (pwerto βaʎarta; Kiswahili: Bandari ya Vallarta) ni mji mkubwa katika Jalisco. Upande wa magharibi ni maji wa Pasifiki. Ni mji wa mapumziko nchi Mexiko.

Idadi ya wakazi ni 177,830, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 220,368. Uneo lake ni 1,300.7 km².

Mji ulianzishwa mwaka 1851.


Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Puerto Vallarta, Jalisco kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.