Pua
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pua ni kiungo cha mwili wa watu na wanyama vertebrata. Kazi yake ni kunusu vitu. Inasaidia pia kazi ya kupumua.
Kwa watu na pia wanyama wengi kuna nyewele puani zenye kazi ya filta dhidi ya vumbi.
| Makala hiyo kuhusu "Pua" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
| Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |