Philip Sang'ka Marmo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Philip Sang'ka Marmo (amezaliwa tar. 29 Desemba 1951) ni mbunge wa jimbo la Mbulu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri]

Marejeo[hariri]

  1. Mengi kuhusu Philip Sang'ka Marmo (18 Februari 2008). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.