Peter Joseph Serukamba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Peter Joseph Serukamba (amezaliwa tar. 6 Juni 1972) ni mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. Mengi kuhusu Peter Joseph Serukamba (13 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.