Paul Éluard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Paul Éluard (14 Desemba, 189518 Novemba, 1952) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Eugène Grindel. Aliandika hasa mashairi, na katika maandishi yake ya kisiasa alimsifu Stalin.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Paul Éluard" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Paul Éluard kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi