Paraguay (mto)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Beseni ya mto Paraguay
Mto wa Paraguay
Mto Paraguay karibu na Asuncion
Chanzo nyanda za juu za Mato Grosso (Brazil)
Mdomo mto wa Parana
Nchi Brazil, Bolivia (kilomita chache), Paraguay
Argentina
Urefu 2,625 km
Mkondo 4,300 m³/s
Eneo la beseni 1,200,000 km²
Miji mikubwa kando lake Caceres, Corumba, Asuncion

Mto wa Paraguay ni tawimto mkubwa wa Rio Paraná. Jina laandikwa katika Brazil kwa Kireno "Rio Paraguai", baadaye nchini Paraguay kwa Kihispania "Río Paraguay".

Mto unaanza Brazil katika nyanda za juu za Mato Grosso 1154 km kaskazini ya Cuiabá ukielekea kusini. Baada ya kutoka katika nyanda za juu mto unapita tambarare ya Pantanal hapi ni mpaka kati ya Brazil na Bolivia.

Mto hukata Paraguay yote hadi Asuncion na kuingia Argentina. Unaishia kwenye Rio Parana karibu na Corrientes.

Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Paraguay (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.