Papa Urban VIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Urban VIII

Papa Urban VIII (Aprili 156829 Julai, 1644) alikuwa papa kuanzia 6 Agosti, 1623 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Maffeo Barberini. Alimfuata Papa Gregori XV.

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Urban VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.