Papa Urban II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Urban II (1042 – 29 Julai 1099) alikuwa papa kuanzia mwezi wa Machi 1088 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Otho wa Lagery.
Alimfuata Papa Viktor III akafuatwa na Papa Paskali II.
Viungo vya nje[hariri]
Papa Urban II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Urban II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
