Papa Urban II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Urban II (1042 – 29 Julai, 1099) alikuwa papa kuanzia mwezi wa Machi 1088 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Otho wa Lagery. Alimfuata Papa Viktor III.
Papa Urban II (1042 – 29 Julai, 1099) alikuwa papa kuanzia mwezi wa Machi 1088 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Otho wa Lagery. Alimfuata Papa Viktor III.