Papa Urban I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Urban I alikuwa papa kuanzia tarehe 14 Oktoba 222 hadi kifo chake tarehe 23 Mei 230. Alimfuata Papa Callixtus I akafuatwa na Papa Pontian.
Urban I ni papa wa kwanza ambaye tarehe zake zina hakika kihistoria.
Anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 25 Mei, [[sikukuu] yake.
Viungo vya nje [hariri]
Kuhusu Papa Urban I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Urban I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
