Papa Sergio I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Sergio I alikuwa papa kuanzia 15 Desemba 687 hadi kifo chake tarehe 8 Septemba 701. Alimfuata Papa Konon akafuatwa na Papa Yohane VI.
Alizaliwa Palermo (Italia) katika familia kutoka Syria.
Marejeo[hariri]
- Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.
Viungo vya nje[hariri]
Kuhusu Papa Sergio I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Sergio I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
