Papa Sergio I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Sergius I.jpg

Papa Sergio I alikuwa papa kuanzia 15 Desemba 687 hadi kifo chake tarehe 8 Septemba 701. Alimfuata Papa Konon akafuatwa na Papa Yohane VI.

Alizaliwa Palermo (Italia) katika familia kutoka Syria.

Marejeo[hariri]

  • Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.

Viungo vya nje[hariri]

Kuhusu Papa Sergio I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Sergio I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.