Papa Martin V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Martin V (takriban 1368 – 20 Februari, 1431) alikuwa papa kuanzia 11 Novemba, 1417 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Odo Colonna. Alimfuata Papa Gregori XII.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Martin V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
