Papa Innocent XI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Innocent XI (16 Mei, 1611 – 12 Agosti, 1689) alikuwa papa kuanzia 21 Septemba, 1676 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Benedetto Odescalchi. Alimfuata Papa Klementi X.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Innocent XI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent XI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |