Papa Celestino III
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Celestino III (takriban 1106 – 8 Januari 1198) alikuwa papa kuanzia 30 Machi 1191 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giacinto Bobone.
Alimfuata Papa Klementi III akafuatwa na Papa Innocent III.
Viungo vya nje[hariri]
Papa Celestino III katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Celestino III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |