Papa Celestino II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Celestino II alikuwa papa kuanzia 25 Septemba, 1143 hadi kifo chake tarehe 8 Machi, 1144. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Guido di Castello. Alimfuata Papa Innocent II.

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Celestino II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.