Papa Callixtus I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Callixtus I alikuwa papa kuanzia takriban 217 hadi kifodini chake takriban 222.
Alimfuata Papa Zephyrinus akafuatwa na Papa Urban I.
Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake ni tarehe 14 Oktoba.
Marejeo[hariri]
- J.N.D. Kelly, Oxford Dictionary of the Popes, 2nd edition (Oxford University Press, 2006), 13-4.
Viungo vya nje[hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Callixtus I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |