Papa Boniface V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Boniface V alikuwa papa kuanzia 23 Desemba, 619 hadi kifo chake tarehe 25 Oktoba, 625. Alimfuata Papa Adeodato I.

[hariri] Viungo vya nje

Kuhusu Papa Boniface V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Boniface V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.