Papa Boniface V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Boniface V alikuwa papa kuanzia 23 Desemba, 619 hadi kifo chake tarehe 25 Oktoba, 625. Alimfuata Papa Adeodato I.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Boniface V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Boniface V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |