Papa Anastasio IV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Anastasio IV alikuwa papa kuanzia 9 Julai 1153 hadi kifo chake tarehe 3 Desemba 1154. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Corrado di Suburra.
Alimfuata Papa Eugenio III akafuatwa na Papa Adrian IV.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Anastasio IV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Anastasio IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |