Papa Alexander VIII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Alexander VIII (22 Aprili, 1610 – 1 Februari, 1691) alikuwa papa kuanzia 6 Oktoba, 1689 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Vito Ottoboni. Alimfuata Papa Innocent XI.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Alexander VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |