Papa Alexander V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Alexander V

Alexander V (anajulikana pia kama Petro wa Kandia, 13393 Mei 1410) kwa mtazamo rasmi wa Kanisa Katoliki alikuwa antipapa wakati wa Farakano la Magharibi (13781417), ingawa wanahistoria wengine wanamuona kuwa Papa halisi.

Aliogoza kuanzia 26 Juni 1409 hadi kifo chake mwaka 1410.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]