Papa Adrian V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Adrian V (takriban 1205 – 18 Agosti, 1276) alikuwa papa kuanzia 12 Julai, 1276 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ottobuono de' Fieschi. Alimfuata Papa Innocent V.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Adrian V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
