Pango la Son Doong

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pango la Son Doong,Vietnam

Son Doong ni pango katika Jimbo la Quang Binh, Vietnam, km 50 kaskazini kwa mji wa Đồng Hới, km 44 kaskazini kwa Uwanja wa Ndege wa Dong Hoi, na km 450 kusini kwa mji mkuu wa Hanoi.

Mnamo Aprili mwaka wa 2009, mpelelezi wa Uingereza amegundua kuwa ni miongoni mwa maeneo yenye mapango makubwa duniani.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. World's biggest cave found in Vietnam

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.