Orodha ya Wafalme Wakuu wa Japani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Orodha ya Wafalme Wakuu (Tenno) wa Japani inataja wafalme wanaohesabiwa rasmi. Kwa wafalme 28 wa kwanza hatuna miaka ya uhakika, kwa hiyo hawajaorodheshwa humo.