Orodha ya Hifadhi za Taifa nchini Kenya
Mfumo wa kitaifa wa mbuga za Kenya unaimarishwa na Shirika la Kenya la Wanyama pori (Kenya Wildlife Service.) Kenya unaimarishwa na Shirika la Kenya la Wanyama pori (Kenya Wildlife Service).
Yaliyomo |
Hifadhi ya Taifa [hariri]
- Hifadhi ya Taifa ya Aberdare
- Hifadhi ya Taifa ya Amboseli
- Hifadhi ya Taifa ya Arabuko Sokoke
- Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate na Mlima Longonot
- Hifadhi ya Taifa ya Kora
- Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru
- Hifadhi ya Taifa ya Marsabit
- Hifadhi ya Taifa ya Meru
- Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya
- Hifadhi ya Taifa ya Mlima Elgon
- Hifadhi ya Taifa ya Nairobi
- Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Ndere
- Hifadhi ya Taifa ya Ol Donyo Sabuk
- Hifadhi ya Taifa ya Ruma
- Hifadhi ya Taifa ya Saiwa Swamp
- Hifadhi ya Taifa ya Sibiloi
- Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki
- Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Magharibi
Hifadhi [hariri]
- Hifadhi ya Kitaifa ya Arawale
- Hifadhi ya Kitaifa ya Boni
- Hifadhi ya Kitaifa ya Msitu Kakamega
- Hifadhi ya Paa ya Kisumu
- Hifadhi ya Kitaifa ya Samburu
- Hifadhi ya Kitaifa ya Buffalo Springs
- Hifadhi kwa tembo ya Mwaluganje
- Hifadhi ya Kitaifa ya Shimba Hills
- Hifadhi ya Kitaifa ya Masai Mara
- Hifadhi ya Kitaifa ya Mwea
Mbuga na Hifadhi za Majini [hariri]
- Hifadhi ya kitaifa ya maji ya Kiunga
- Mbuga ya maji ya kitaifa ya Kisite-Mpunguti
- Mbuga na Hifadhi za Malindi / Watamu
- Mbuga na Hifadhi ya kitaifa ya maji ya Mombasa
- Mbuga ya maji ya kitaifa ya Mpunguti
- Hifadhi ya Tana Delta
Tazama pia [hariri]
Viungo vya nje [hariri]
- Kenya Wildlife Service
- Kenya Tourism Board Official travel and tourism guide
|
||||||||||||||