Origen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Origen.

Origen, kwa Kigiriki Ὠριγένης Ōrigénēs, (185 - 253), mwana wa mfiadini Leonidas wa Aleksandria, alikuwa padri kutoka Aleksandria (Misri) aliyehamia Kaisarea (Palestina) na kuendeleza kazi yake kama mtaalamu maarufu wa Biblia.[1][2][3][4][5].

Sala yake[hariri | hariri chanzo]

Yesu, miguu yangu ni michafu. Njoo kama mtumwa kwangu, mimina maji katika beseni lako, njoo unitawadhe miguu. Ninapoomba hivyo najua kuwa nathubutu mno, lakini naogopa tishio lililotolewa uliponiambia, “Nisipokutawadha miguu, huna ushirika nami”. Basi, osha miguu yangu, kwa kuwa naonea shauku urafiki wako.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Bostock, Gerald (2003). "Origen: the Alternative to Augustine?". The Expository Times 114 (10): 327. doi:10.1177/001452460311401001. 
  • Heine, Ronald E. (2010). Origen: Scholarship in the service of the Church. Oxford: OUP. p. 275. ISBN 978-0-19-920908-8. 
  • Trigg, Joseph Wilson (1985). Origen: the Bible and philosophy in the third-century church. London: SCM Press. ISBN 0-334-02234-7. 
  • Trigg, Joseph Wilson (1998). Origen. New York: Routledge. ISBN 0-415-11836-0. 
  • Crouzel, Henri (1989). Origen. San Francisco: Harper & Row. ISBN 0-06-061632-6. 

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The New Catholic Encyclopedia (Detroit: Gale, 2003). ISBN 978-0-7876-4004-0
  2. Hans Urs von Balthasar, Origen of Alexandria: Spirit and Fire: A Thematic Anthology of His Writings
  3. Papa Benedikto XVI alitoa hotuba mbili juu yake.
  4. Benedict XVI, General Audience, St Peter's Square, Wednesday 25 Aprili 2007, Origen of Alexandria: life and work.[1]
  5. https://dacb.org/stories/egypt/origen/

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Pelikan, Jaroslav. The Emergence of the Catholic Tradition: 100-600. Chicago: University of Chicago Press, 1977.
  • The Commentary of Origen On S. John's Gospel, the text revised and with a critical introduction and indices by A. E. Brooke (2 vols., Cambridge University Press, 1896)
  • B. F. Westcott, 'Origen', in Dictionary of Christian Biography
  • Rowan Williams, 'Origen: between orthodoxy and heresy', in Origeniana Septima, ed. W. Bienert, U. Kuhneweg (1999), p. 3-14.
  • Thomas P. Scheck (Author), Joseph T. Lienhard S.J. (Foreword), Origen and the History of Justification: The Legacy of Origen's Commentary on Romans, 2008, University of Notre Dame Press, ISBN 0-268-04128-8 ISBN 9780268041281 [2]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.