Origen
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Origen, kwa Kigiriki Ὠριγένης Ōrigénēs, (185 - 253), mwana wa mfiadini Leonidas, alikuwa padri kutoka Aleksandria (Misri) aliyehamia Kaisarea (Palestina) na kuendeleza kazi yake kama mtaalamu maarufu wa Biblia.[1][2][3][4].
Yaliyomo |
Sala yake [hariri]
Yesu, miguu yangu ni michafu. Njoo kama mtumwa kwangu, mimina maji katika beseni yako, njoo unitawadhe miguu. Ninapoomba hivyo najua kuwa nathubutu mno, lakini naogopa tishio lililotolewa uliponiambia, “Nisipokutawadha miguu, huna ushirika nami”. Basi, osha miguu yangu, kwa kuwa naonea shauku urafiki wako.
Vyanzo [hariri]
- Bostock, Gerald (2003). "Origen: the Alternative to Augustine?". The Expository Times 114 (10): 327. doi:10.1177/001452460311401001.
- Heine, Ronald E. (2010). Origen: Scholarship in the service of the Church. Oxford: OUP, 275. ISBN 978-0-19-920908-8.
- Trigg, Joseph Wilson (1985). Origen: the Bible and philosophy in the third-century church. London: SCM Press. ISBN 0-334-02234-7.
- Trigg, Joseph Wilson (1998). Origen. New York: Routledge. ISBN 0-415-11836-0.
- Crouzel, Henri (1989). Origen. San Francisco: Harper & Row. ISBN 0-06-061632-6.
Tanbihi [hariri]
- ↑ The New Catholic Encyclopedia (Detroit: Gale, 2003). ISBN 978-0-7876-4004-0
- ↑ Hans Urs von Balthasar, Origen of Alexandria: Spirit and Fire: A Thematic Anthology of His Writings
- ↑ Papa Benedikto XVI alitoa hotuba mbili juu yake.
- ↑ Benedict XVI, General Audience, St Peter's Square, Wednesday 25 Aprili 2007, Origen of Alexandria: life and work.[1]
Marejeo [hariri]
- Pelikan, Jaroslav. The Emergence of the Catholic Tradition: 100-600. Chicago: University of Chicago Press, 1977.
- The Commentary of Origen On S. John's Gospel, the text revised and with a critical introduction and indices by A. E. Brooke (2 vols., Cambridge University Press, 1896)
- B. F. Westcott, 'Origen', in Dictionary of Christian Biography
- Rowan Williams, 'Origen: between orthodoxy and heresy', in Origeniana Septima, ed. W. Bienert, U. Kuhneweg (1999), p. 3-14.
- Thomas P. Scheck (Author), Joseph T. Lienhard S.J. (Foreword), Origen and the History of Justification: The Legacy of Origen's Commentary on Romans, 2008, University of Notre Dame Press, ISBN 0-268-04128-8 ISBN 9780268041281 [2]
Viungo vya nje [hariri]
- Translations
- Translations of some of Origen's writings can be found in Ante-Nicene Fathers or in The Fathers of the Church. Material not in those collections includes:
- Dialogue with Heracleides
- On Prayer - at Tertullian.org.
- Philocalia - at Tertullian.org.
- Analysis and Criticism
- Modern
- Coptic Church on Origen
- The two-part Roman Catholic meditation on Origen by Pope Benedict XVI: April 25, 2007 and May 2, 2007.
- Ancient
- Modern
- Derivative Summaries
- Catholic Encyclopedia: Origen and Origenism
- Origen Entry in Internet Encyclopedia of Philosophy
- Origen in the 1911 Encyclopædia Britannica
- Jewish Encyclopedia: Origen
- Origen from New Schaff-Herzog Encyclopedia of Religious Knowledge
- Bibliography
- EarlyChurch.org.uk Extensive bibliography and on-line articles.
- Original Texts
- Other Resources
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Origen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
