Omar Shabani Kwaangw'

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Omar Shabani Kwaangw' (amezaliwa tar. 2 Julai 1954) ni mbunge wa jimbo la Babati Mashariki katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri]

Marejeo[hariri]

  1. Mengi kuhusu Omar Shabani Kwaangw' (17 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.