Oklahoma City Thunder
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Oklahoma City Thunder | |
| Ukanda | Western Conference |
| Daraja | Northwest Division |
| Imeanzishwa | 1967 |
| Historia | Seattle SuperSonics (1967–2008) Oklahoma City Thunder (2008–) |
| Uwanja | Ford Center |
| Mji | Oklahoma City, Oklahoma |
| Rangi ya timu | Orange, Navy Blue, Blue, Gold, White |
| Mmiliki | Professional Basketball Club LLC (Clay Bennett, Chairman) |
| Meneja mkuu | Sam Presti |
| Kocha mkuu | P. J. Carlesimo |
| D-League affiliate | Tulsa 66ers |
| Ubingwa | 1 (1979) |
| Mataji ya ukanda | 3 (1978, 1979, 1996) |
| Mataji ya daraja | 6 (1979, 1994, 1996, |
| Tovuti rasmi | nba.com/oklahomacity |
Oklahoma City Thunder ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Oklahoma City, Oklahoma. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Kevin Durant. Timu ilianzishwa mnamo mwaka wa 1967.
Viungo vya Nje [hariri]
- Official website of the Thunder
- Oklahoma City Thunder @ Basketball-Reference.com
| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Oklahoma City Thunder kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |