Ogimachi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ogimachi (18 Juni 15176 Februari 1593) alikuwa mfalme mkuu wa 106 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Michihito. Tarehe 27 Oktoba 1557 alimfuata baba yake, Go-Nara, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 17 Desemba 1586. Aliyemfuata ni mjukuu wake, Go-Yozei.

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ogimachi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.