Offenbach am Main

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru






Offenbach am Main

Bendera

Nembo
Offenbach am Main is located in Ujerumani
Offenbach am Main
Offenbach am Main

Mahali pa mji wa Offenbach katika Ujerumani

Majiranukta: 50°6′0″N 8°46′0″E / 50.10000°N 8.76667°E / 50.10000; 8.76667
Nchi Ujerumani
Jimbo Hesse
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 118,770
Tovuti:  www.offenbach.de
Offenbach

Offenbach am Main au Offenbach ni mji wa Hesse nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Main. Idadi ya wakazi wake ni takriban 118,770. Mji ulianzishwa 977. Umbali na Jiji la Frankfurt am Main ni 3 km.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Offenbach am Main kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.