Odysseas Elytis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Odysseas Elytis (2 Novemba, 191118 Machi, 1996) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Ugiriki. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Odysseas Alepoudhelis. Mwaka wa 1979 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Odysseas Elytis" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Odysseas Elytis kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi