Oakland, California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Oakland, California








Jiji la Oakland

Bendera
Nchi Marekani
Jimbo California
Wilaya Alameda
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 397,067
Tovuti:  www.oaklandnet.com
Oakland
Oakland

Oakland ni mji wa nane kwa ukubwa katika California. Uko mashariki ya rasi ya San Francisco. Mji ulikuwa na wakazi 397,067 mnamo mwaka 2006.

Mji uliundwa mwaka 1852. Jina la kwanza la mji lilikuwa encinal (Kihispania: kituka cha mti wa oak).

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oakland, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.