Nyakasimbi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Nyakasimbi
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Karagwe
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 16,364

Nyakasimbi ni kata ya Wilaya ya Karagwe katika Mkoa wa Kagera, Tanzania yenye postikodi namba 35409 [1].

Kata ina vijiji vya Nyakasimbi, Bujara, Kahanga na Nyamwala. Kijiji cha Nyamwala kina kitongoji cha Masheshe kinachopakana na pori la Chimisi. Zamani Nyakasimbi ilikuwa inajumuisha kata ya Rugu.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 16,364 [2]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 12,803 waishio humo.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2018-08-05. Iliwekwa mnamo 2018-02-01.
  2. https://www.nbs.go.tz, uk 170
  3. Sensa ya 2012, Kagera - Karagwe-District-Council
Kata za Wilaya ya Karagwe - Mkoa wa Kagera - Tanzania

Bugene | Bweranyange | Chanika | Chonyonyo | Igurwa | Ihanda | Ihembe | Kamagambo | Kanoni | Kayanga | Kibondo | Kihanga | Kiruruma | Kituntu | Ndama | Nyabiyonza | Nyaishozi | Nyakabanga | Nyakahanga | Nyakakika | Nyakasimbi | Rugera | Rugu

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nyakasimbi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.