Njombe
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Njombe | |
| Mahali pa Njombe katika Tanzania | |
| Anwani ya kijiografia: 9°15′00″S 35°00′00″E / 9.25°S 35°E | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Mkoa | Iringa |
| Wilaya | Njombe |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 42,332 |
Njombe ni mji ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Njombe, Tanzania na ya wilaya mbili zenye jina hilohilo (ya mjini na ya vijijini).
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2002, mji ulikuwa na wakazi wapatao 42,332 waishio humo. [1]
Marejeo [hariri]
- ↑ 2002 Population and Housing Census General Report (en). Government of Tanzania. Rudishwa juu ya 2008-08-21.
| Kata za Wilaya ya Njombe - Mkoa wa Iringa - Tanzania | ||
|---|---|---|
|
Idamba | Igongolo | Igosi | Ikondo | Ikuka | Ilembula | Imalinyi | Iwungilo | Kidegembye | Kifanya | Luduga | Lupembe | Luponde | Mahongole | Makambako | Matola | Mdandu | Mtwango | Njombe Mjini | Saja | Usuka | Uwemba | Wangama | Wanging'ombe | Yakobi |
||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Njombe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |