New Orleans Pelicans

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka New Orleans Hornets)

New Orleans Pelicans ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini New Orleans, Louisiana. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Zion Williamson

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu New Orleans Pelicans kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.