Nanchang
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Nanchang | |||
|
|||
| Nchi | China | ||
|---|---|---|---|
| Jimbo | Jiangxi | ||
| Idadi ya wakazi | |||
| - Mji | 3,790,000 | ||
| Tovuti: www.nc.jx.cn | |||
Nanchang (南昌) ndiyo mji mkuu katika jimbo la Jiangxi. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, mji una wakazi wapatao milioni 5 wanaoishi katika mji huu.