N.E.M.A, Kenya
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
NEMA ni shirika la serikali lililowajibika na usimamizi wa mazingira, na sera ya mazingira, nchini Kenya. Nema iko katika jiji la Nairobi.
Angalia Pia [hariri]
- Usimamizi wa mazingira
- Ratemo Michieka mkurugenzi wa zamani wa Nema
Viungo vya nje [hariri]
National Environmental Management Authority UNEP
| Makala about government in Kenya bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |