Mwazye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Mwazye
Nchi Tanzania
Mkoa Rukwa
Wilaya Kalambo
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 11,981

Mwazye ni kata ya Wilaya ya Kalambo katika Mkoa wa Rukwa, Tanzania. Kata hii iliwahi kuwa sehemu ya Wilaya ya Sumbawanga Vijijini ikahamishwa kwenye wilaya mpya ya Kalambo mwaka 2012.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 11,981 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,883 waishio humo.[2]

Ndipo alipozaliwa Polycarp Pengo, kardinali wa pili kutoka Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kalambo - Mkoa wa Rukwa - Tanzania

Kanyezi | Kasanga | Katazi | Katete | Kilesha | Kisumba | Legezamwendo | Lyowa | Mambwekenya | Mambwe Nkoswe | Matai | Mbuluma | Mkali | Mkowe | Mnamba | Mpombwe | Msanzi | Mwazye | Mwimbi | Samazi | Sopa | Sundu | Ulumi

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Rukwa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mwazye kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.