Mwadini Abbas Jecha
(Elekezwa kutoka Mwadini Abass Jecha)
Mwadini Abbas Jecha (amezaliwa tar. 15 Oktoba 1959) ni Mbunge wa jimbo la Wete katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Mwadini Abass Jecha (19 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
- ↑ https://peoplepill.com/people/mwadini-abbas-jecha/
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |