Muziki wa country

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Muziki wa Country)

Muziki wa country (pia huitwa: Country & Western) ni aina ya muziki ambao ulikuwa ukifurahiwa sana nchini Marekani kwa miaka mingi.

Muziki huu pia una wasikilizaji huko nchini Kanada, Uingereza na sehemu nyingine ulimwenguni.

Miongoni mwa wanamuziki maarufu wa muziki huo ni pamoja na Johnny Cash, Patsy Cline, the Judds, Dolly Parton, Glen Campbell, George Jones na Tammy Wynette, Kenny Rogers, Loretta Lynn, Randy Travis, Tanya Tucker, Willie Nelson, Reba McEntire, Garth Brooks na Toby Keith.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Umaarufu wa muziki wa country huja na kupotea kwa miaka mingi sasa. Kuna kipindi hutokea katika baadhi ya filamu mpya (kama Midnight Cowboy au Urban Cowboy), wamepiga kibao (kama "She Believes In Me" cha Kenny Rogers), au mwimbaji mpya (kama Randy Travis wa miaka ya 1980) alianza ladha kadhaa.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muziki wa country kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.