Mtumiaji:Kemyjr

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Lugha
sw Mtumiaji huyu ni mwongeaji wa Kiswahili Fasaha.
en-3 This user is able to contribute with an advanced level of English.
KWC Mtumiaji huyu ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
KWC Mtumiaji huyu ni mshiriki katika Shindano la Wikipedia ya Kiswahili la 2009.   (Submissions)


Ndizi, zao kuu la chakula, katika mkoa wa Kagera

Mimi naitwa Lina Joseph Rujweka,ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar-es-salaam, ninayesoma shahada ya sayansi ya tarakilishi, mwaka wa tatu. Jinsia yangu ni ya kike. Ni mtoto wa tatu kuzaliwa katika familia yenye watoto watano kati yao wakiwemo wasichana watatu na wavulana wawili. Kabila langu ni Mnyambo, mwenyeji wa mkoa wa Kagera, wilaya ya Karagwe,katika kijiji cha Kibona. Mimi ninazungumza lugha ya kiswahili na kiingereza.

Nimefurahi sana kuchangia kamusi elezo huru kupitia ushiriki wangu katika shindano hili la Wikipedia ya Kiswahili la 2009. Lengo hasa ikiwa ni kukuza lugha ya kiswahili. Ni matumaini yangu waafrika wengi watanufaika na kamusi elezo huru katika nyanja mbalimbali kama vile utafiti.


Chuo kikuu cha Dar es salaam

Vifaa binafsi

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa